logo
KUHUSU SISI

Tunarahisisha biashara ya kupangisha nyumba.

Tumejikita katika kupangisha nyumba na ku-manage mchakato mzima wa kupanga nyumba.

Kuhusu Pangisha

Tuna huduma kuu mbili: moja ni ya udalali (kutafutia wateja nyumba za kupanga), na ya pili ni program ya kutunza kumbukumbu za mchakato mzima wa kupangisha nyumba — ikizingatia mmiliki wa nyumba, nyumba yenyewe, mpangaji, mkataba wa nyumba pamoja na makusanyo ya kodi.

Maono

Kila mwenye nyumba Tanzania kusimamia mali zake kwa ujasiri na uhakika — akiwa na nguvu kamili ya kujiendesha mwenyewe.

Dhamira

Kuwawezesha wamiliki na wasimamizi wa mali kwa mfumo rahisi na salama, tukifundisha kwa kuzingatia uelewa wa mteja na subira, na kubaki washirika wao tukisikiliza na kuboresha bila kukoma.

Malengo

Ifike muda jamii ya Kitanzania ihame kutoka kwenye daftari (counter book) na faili za Excel katika biashara ya kupangisha nyumba, na badala yake itumie program yetu ya Pangisha.

Gharama

Gharama zetu zinaanzia 10,000/= Tshs kwa mwezi na zinategemea idadi ya nyumba unazozisimamia. Chagua mpango unaokufaa — bila mkataba wa muda mrefu.

Huhitaji Kadi ya Malipo Lipa Miezi 6 au 12 Kwa Mkupuo Katisha Muda Wowote
Una usajili tayari? Hakuna mabadiliko ya ghafla — utaendelea kwenye bei yako ya sasa hadi usajili uishe. Bei mpya zitaanza wakati wa renewal.
Starter
10,000/= Tshs/mwezi
Unit 1 – 10 · bei flat
  • Unit 1 – 10
  • SMS 100 kwa miezi 6 – 12
  • Viambatisho hadi 5MB
  • Bei flat (haibadiliki)
Anza Sasa

Unit 1 inahesabika kwa mpangaji mmoja (1).

Wasiliana Nasi

Fika Ofisini

Ofisi yetu iko:
12 Mori St, Sinza A,
Dar es Salaam, Tanzania


Karibu wakati wowote wa kazi.

Wasiliana Nasi

Barua pepe, simu au WhatsApp:
msaada@pangisha.co.tz
+255 657 999 441

Tutajibu ndani ya masaa 24.

Saa za Kazi

Jumatatu – Ijumaa:
Saa 3:00 asubuhi – 11:00 jioni

Jumamosi:
Saa 3:00 asubuhi – 8:00 mchana

Uko tayari kuanza?

Jaribu mfumo mwenyewe bila malipo, au wasiliana nasi — tutakusaidia haraka.

Chat na sisi