Hatua 1 — Sajili Units
Tunatumia estate na jengo lililopo. Ongeza units (vyumba) — sajili angalau 2.
CHANGANYIKENI ESTATE · Jengo A
Hatua 2 — Sajili Mpangaji
Weka jina na namba ya simu ya mpangaji (au hariri aliyepo).
Hatua 3 — Mpangishe (Mkataba)
Chagua unit, weka muda na tarehe ya kuanza. Bili itatengenezwa moja kwa moja.
Hatua 4 — Tazama Bili (Invoice)
Bili hii imetengenezwa moja kwa moja baada ya mkataba.
Hatua 5 — Sajili Malipo
Pokea malipo dhidi ya bili. Kwa demo, lipa kiasi chote.
Hatua 6 — Vipengele vya Mkataba
Ongeza vipengele (angalau 3) au tumia vya kawaida.
Hatua 7 — Mashahidi
Sajili shahidi mmoja kwa kila upande.
Hatua 8 — Saini Mkataba
Saini kwa kila mhusika — chora kwa kipanya au kidole.
Shahidi wa Mwenye Nyumba
Tayari! 🎉
Bofya kadi kuona PDF halisi — kisha pakua au funga.
Umevutiwa? Anza kutumia Pangisha kwa nyumba zako halisi.
Jisajili sasa